MNIGERIA NAYE AENDELEA KUJIPANGA NAMNA YA KUWANYOSHA YANGA J'MOSI - EDUSPORTSTZ

Latest

MNIGERIA NAYE AENDELEA KUJIPANGA NAMNA YA KUWANYOSHA YANGA J'MOSI






Simba imetoa nafasi kwa mshambuliaji Mnigeria kujinoa katika kikosi chake.


Mnigeria huyo mwenye umbo la miraba minne ameonekana kijifua katika kikosi cha Simba kwenye Uwanja wa Amaan mjini Zanzibar.

Mshambuliaji alianza kujifua na Simba jijini Dar es Salaam.

hivyo, Simba wamekuwa hawataki kuzungumzia lolote kuhusiana na mchezaji huyo.
like facebook page yetu hapa kwa habari za uhakika Propellerads

For Booking>>>



CALL>>>

Voda: +255757441463

JIUNGE NAMI KUPITIA LINK HIZI










Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz