RATIBA LIGI KUU BARA 2017/18 - EDUSPORTSTZ

Latest

RATIBA LIGI KUU BARA 2017/18



RATIBA ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu wa 2017-2018 imetoka na itatanguliwa na mchezo wa Ngao ya Jamii, baina ya mabingwa watetezi, Yanga SC dhidi ya washindi wa Kombe la Shirikisho la Soka nchini (TFF), michuano ijulikanayo kama Azam Sports Federation Cup Agosti 23, mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Pazia la Ligi Kuu inayorushwa moja kwa moja na Televisheni ya Azam, litafunguliwa rasmi Agosti 27, mwaka huu kwa timu zote 16 kuingia viwanjani.























AGOSTI 26, 2017

Ndanda Vs Azam -Nangwanda

Mwadui Vs Singida- Mwadui

Mtibwa Vs Stand – Manungu

Simba Vs Ruvu – Taifa

Kagera Vs Mbao -Kaitaba

Njombe Vs Prison- Sabasaba

Mbeya Vs Majimaji- Sokoine




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz