HATIMAYE CHELSEA YAMALIZANA NA BAKAYOKO, YAMPA MIAKA - EDUSPORTSTZ

Latest

HATIMAYE CHELSEA YAMALIZANA NA BAKAYOKO, YAMPA MIAKA




Hatimaye Chelsea imemalizana na kiungo Tiemoue Bakayoko kutoka Monaco. Inaelezwa mabingwa hao wa England wamemwaga pauni milioni 40.

Bakayoko amemalizana na Chelsea kwa kusaini mkataba wa miaka mitano.

Kiungo huyo mshambulizi mwenye miaka 22, anatokea Monaco ambayo alifanya vizuri akiwa huko. Mkali huyo amekabidhiwa jezi namba 14.










Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz