Tambwe kitanzini tena Yanga. - EDUSPORTSTZ

Latest

Tambwe kitanzini tena Yanga.




Mshambuliaji wa klabu ya Yanga na timu ya taifa ya Burundi Amisi Tambwe amekamilisha dili la kuendelea kuitumikia klabu yake ya Yanga baada ya kuingia mkataba mwingine kuendelea kuitumikia klabu hiyo.

Tambwe alisaini mkataba huo juzi baada ya kurejea kutoka mapumzikoni nchini kwao Burundi hivyo kuendelea kuitumikia klabu hiyo ya mitaa ya Twiga na Jangwani kwa kipindi cha miaka miwili mingine.


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz