Nilivyorejesha Furaha Yangu Baada ya Kuishi Kwenye Huzuni Kubwa Kutokana na Ushughulikiaji Mbaya

 

Nilikuwa naishi kwenye huzuni kubwa kwa muda mrefu. Kila kitu kilibadilika baada ya tukio moja ambalo liliniacha nikiwa na maumivu ya ndani ambayo sikuweza kuyaeleza kwa mtu yeyote.

Nilijaribu kuendelea na maisha kama kawaida, lakini moyoni nilikuwa nimevunjika.

Nilikuwa napoteza hamu ya kufanya mambo niliyokuwa napenda. Hata kukutana na watu kulikuwa kunanichosha. 

Watu wengi walidhani niko sawa kwa sababu nilikuwa natabasamu mbele yao, lakini ukweli ni kwamba nilikuwa naumia kimya kimya kila siku.

Siku moja nilimweleza rafiki yangu wa karibu hali yangu.SOMA ZAIDI.

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post