Nilivyopata Upendo Mpya Baada ya Kuachana na Mpenzi Aliyeniudhi

 

Mimi nilikuwa kwenye uhusiano uliokuwa na maumivu mengi. Nilimpenda sana, lakini mara nyingi alinichukulia kawaida na kuniumiza kihisia. 

Nilijikuta nikivumilia mambo mengi kwa sababu ya mapenzi. Baada ya muda, nilichoka. Niliona siwezi kuendelea kuumia kila siku.

Uamuzi wa kuachana haukuwa rahisi, lakini nilijua ulikuwa wa lazima. Baada ya kuachana, nilibaki na huzuni kubwa. 

Nilihisi peke yangu, na wakati mwingine nilijilaumu kwa kila kitu kilichotokea. Ilikuwa ngumu sana kuanza upya.

Nilianza hata kupoteza imani ya kupata upendo wa kweli. Niliona kama kila kitu kimeharibika na sitapata mtu wa kunielewa tena.

Siku moja nilimweleza rafiki yangu wa karibu hali yangu.SOMA ZAIDI.

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post