Nilikuwa na ndoto moja kubwa moyoni kupata mtoto wa kike. Nilikuwa tayari nina watoto wa kiume, lakini tamaa yangu ya kuwa na binti haikutimia kwa miaka mingi.
Kila nilipopata ujauzito, matumaini yangu yalikuwa makubwa. Lakini matokeo yalikuwa yale yale.
Nilianza kuchoka kihisia. Watu wengine walinicheka, wengine wakasema labda si majaliwa yangu. Nilijikuta nikiumia kimya kimya. Ilifika wakati nilianza kukata tamaa kabisa.
Nilianza kuchoka kihisia. Watu wengine walinicheka, wengine wakasema labda si majaliwa yangu. Nilijikuta nikiumia kimya kimya. Ilifika wakati nilianza kukata tamaa kabisa.
Nilihisi kama ndoto yangu haitawahi kutimia. Siku moja nilikuwa nikiongea na dada yangu kuhusu hali yangu.SOMA ZAIDI...................
Post a Comment