Baada ya kuachwa na mtu niliyempenda, maisha yangu yaligeuka kuwa ya huzuni na mawazo mengi.
Tulikuwa tumepanga mengi pamoja, lakini ghafla alikata mawasiliano na kuniacha bila maelezo ya kueleweka.
Nilijaribu kumpigia simu na kumtumia ujumbe mara kadhaa, lakini hakujibu. Kadri siku zilivyopita, ndivyo maumivu yalivyozidi, na nilianza kukata tamaa kabisa.
Nilijaribu kusonga mbele, lakini haikuwa rahisi. Kila kitu kilinikumbusha yeye. Marafiki walinishauri nimuache na nianze upya, lakini moyo wangu haukukubali.
Nilijaribu kusonga mbele, lakini haikuwa rahisi. Kila kitu kilinikumbusha yeye. Marafiki walinishauri nimuache na nianze upya, lakini moyo wangu haukukubali.
Ndani yangu nilijua bado kulikuwa na nafasi ya kurekebisha mambo, ila sikujua nianzie wapi.SOMA ZAIDI.
Post a Comment