Mimi nilianza kuona maisha yangu yakibadilika vibaya baada ya kuibiwa mara ya kwanza.
Nilipoteza vitu muhimu nyumbani na biashara yangu ikaanza kuyumba. Nilijipa moyo nikidhani ni tukio la kawaida la bahati mbaya.
Lakini muda haukupita sana, nikaibiwa tena. Safari hii iliniuma zaidi kwa sababu nilikuwa nimeanza kuchukua tahadhari.
Nilifunga milango vizuri na kujaribu kuwa makini, lakini bado wizi ulitokea tena.…SOMA ZAIDI
Post a Comment