Sikuwahi kufikiria kuwa siku moja ningepitia hali kama hii kwenye ndoa yangu. Mume wangu alianza kubadilika taratibu alikuwa anachelewa kurudi nyumbani, simu yake imekuwa siri, na alikosa muda kabisa wa familia.
Nilijaribu kumuuliza mara kadhaa, lakini kila wakati alikuwa na majibu ya kunizungusha.
Moyoni nilijua kuna kitu kinaendelea, lakini sikuwa na ushahidi. Siku moja nilimweleza rafiki yangu hali yangu.SOMA ZAIDI..............
Moyoni nilijua kuna kitu kinaendelea, lakini sikuwa na ushahidi. Siku moja nilimweleza rafiki yangu hali yangu.SOMA ZAIDI..............
Post a Comment