Hii ni habari inayoweza kukuacha mdomo wazi, kwani hata kwenye ndoa za watu wa dini, matatizo haya yapo na yanatafuna furaha.
Naitwa Mama Mchungaji, na kwa muda mrefu nilikuwa nateseka na ukavu uliokuwa unanisababishia maumivu makali wakati wa tendo la ndoa.
Kila mume wangu alipohitaji haki yake, nilihisi kama ninaadhibiwa kwa makosa nisiyoyajua.
Sikuwa na msisimko wowote, na hali hii ilinifanya nianze kumuogopa mume wangu kiasi cha kutamani alale kanisani au asafiri mbali ili tu nisikutane naye kitandani.
Sikuwa na msisimko wowote, na hali hii ilinifanya nianze kumuogopa mume wangu kiasi cha kutamani alale kanisani au asafiri mbali ili tu nisikutane naye kitandani.
Nilihisi nimepoteza neema ya kiungu na nyota yangu imepata giza la nuksi ambalo lilikuwa linanikosesha amani.
Nilihisi kuna nguvu za giza zinashambulia ndoa yetu ili mchungaji aingie kwenye majaribu ya nje na kuharibu huduma yake.
Nilihisi kuna nguvu za giza zinashambulia ndoa yetu ili mchungaji aingie kwenye majaribu ya nje na kuharibu huduma yake.
Nilijaribu kufunga na kuomba kwa bidii lakini tatizo la ukavu wa mwili liliendelea kunitesa.
Ukavu ulikuwa ni wa kutisha kiasi kwamba niliogopa hata kukaa karibu na mume wangu sebuleni nikihofia atagusia swala la unyumba.SOMA ZAIDI............................
Post a Comment