Kwa muda mrefu, kila siku ilianza kwa maumivu makali ya tumbo. Nilijikuta nikihisi kichefuchefu, kutapika mara kwa mara, na mara nyingine ukosefu wa hamu ya kula.
Nilijaribu dawa za kawaida, lakini kila kitu kilishindikana. Nilijikuta nikishindwa kufanya kazi, familia yangu ikihangaika pamoja nami, na hofu ikikua kila siku. Soma zaidi hapa

Post a Comment