Nilizaliwa katika familia iliyokumbwa na changamoto nyingi. Baba na mama walikuwa wakigombana mara kwa mara, na hata nilipokuwa mtu mzima, nilijikuta pia nikipitia matatizo kama hayo. Kila mara nilipojaribu kuanza biashara, iliniporomoka bila sababu ya kueleweka.
Nilipoanzisha mahusiano, mara nyingi yalikuwa yakivunjika katikati ya furaha. Watu wengi walinipa ushauri tofauti, wengine wakisema labda nilikuwa nimekumbwa na nuksi. Nilihisi nimeelemewa sana na niliamini labda maisha yangu yalikuwa yameandikwa kuwa ya mateso.
Wengi walisema uchawi ni hatari, kwamba mtu akikimbilia huko anajiletea matatizo zaidi. Kwa muda mrefu niliepuka hata kusikia neno hilo. Lakini nilipofikia hatua ya kukata tamaa kabisa, nilianza kutafuta njia mbadala. Soma zaidi hapa

Post a Comment