Baada ya kujifungua mtoto wangu wa pili, nilianza kuhisi kitu tofauti kabisa na mwili wangu. Wakati wa kupona nilijua mabadiliko ni ya kawaida, lakini ndani ya miezi michache niligundua kitu kilikuwa si sawa. Nilihisi sehemu yangu ya siri haina nguvu kama zamani, na kila mara nilipokaa peke yangu nilihisi hofu isiyoelezeka.
Niliogopa sana kwamba mume wangu angeona tofauti na labda kupoteza mvuto wake kwangu. Tulianza kupunguza ukaribu wetu, na nilipojaribu kumkaribia niliona amepooza. Hata kama hakusema moja kwa moja, macho yake na vitendo vyake viliniambia mambo si kama zamani.
Hali hii ilinipeleka kwenye msongo wa mawazo mkubwa. Nilipoteza ujasiri wangu kama mwanamke, nilianza kuvaa nguo zisizoonyesha umbo langu kwa sababu nilihisi nimepoteza ule mvuto niliokuwa nao kabla ya kujifungua.
Nilijaribu kufanya mazoezi ya Kegel kila siku, nikanywa supu za kienyeji, na hata kununua vitu dukani vinavyodai kubana sehemu ya siri, lakini yote yalikuwa bure. Wakati mwingine nililia usiku bila kumwambia mtu yeyote, nikihisi labda ndoa yangu itayumba kwa sababu ya hali yangu.
Siku moja nilimweleza rafiki yangu wa karibu, ambaye alinijua vizuri na alikuwa ameona mabadiliko yangu ya kihisia. Akanishauri nisikae kimya kwa sababu wanawake wengi wanapitia hali kama yangu. Soma zaidi hapa

Post a Comment