Simba kuhitimisha pre-Season kwa mechi mbili za kibabe


 Kikosi cha Simba kinatarajiwa kurejea nchini Alhamisi, August 28 baada ya kukamilisha maandalizi ya mwezi mmoja ya pre-season huko Misri.

Simba itahitimisha kambi hiyo kwa kucheza mechi mbili za kirafiki, leo na kesho.

Leo Simba itamenyana na Wadi Degla katika mchezo utakaopigwa jijini Cairo, kabla ya kukamilisha maandalizi kwa mchezo wa kesho dhidi ya FS Fassel.

Wadi Degla inashiriki Ligi Kuu ya Misri huku Fassel wakiwa mabingwa wa Ligi Kuu ya Algeria.

Mechi hizo zitampa nafasi Kocha Fadlu Davids kufanya tathmini ya mwisho ya kikosi chake kabla ya kurejea nyumbani.

Usikose kuitazama mechi za michuano ya CHAN na LIGI KUU TANZANIA BARA, MECHI ZA ULAYA LIVE bure kupitia Simu yako download App yetu mapema itakayokuwezesha kuzitazama mechi hizi live bure pia ndani ya App yetu utaweza kutazama chanel za Azam tv na Dstv bure bonyeza HAPA au HAPA kudownload app kumbuka app bado hatujaiweka playstore hivo utaidownload kama Apk ikileta neno harmful usiogope.

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post