Nilikuwa Nikiomba Mchango WhatsApp, Sasa Natoa Sponsorship ya Harusi!


 Kama kuna mtu anayejua maana ya kushindwa kifedha hadi unashindwa kutuma salamu kwenye WhatsApp group, basi ni mimi. Nilikuwa yule mtu ambaye kila akikosa hela ya kodi, dawa au hata chakula, anaingia kwenye group la familia na kuandika: “Jamani, naomba msaada kidogo wa hali na mali.”

Nilikuwa na degree mkononi, lakini sikuwa na kazi. Nilihangaika huku na kule kutafuta ajira hadi nikazoea kusikia maneno kama “tutakupigia” au “tutakujulisha.” Muda ulienda, presha iliongezeka, na maisha yalikuwa yanazidi kuwa magumu kila kukicha.



Siku moja, kulikuwa na harusi ya binamu yangu. Kwenye group la familia, watu walikuwa wanajitokeza kutoa misaada: “Mimi nitatoa viti”, “Mimi nitatoa soft drinks.” Mimi niliandika tu: “Nipo tu kwa maombi.” Moyo wangu ulivunjika. Nilitamani angalau nitoe hata redio ya kusikiliza muziki, lakini hata nauli ya kwenda harusini sikuwa nayo.

Nilikuwa nimechoka. Kila mtu aliniona kama mtu wa kuombwa. Sikuweza hata kushika pesa bila kuwa na deni tayari kichwani. Watu waliniona wa kawaida, lakini ndani nilikuwa nimejaa, aibu, na ndoto zilizokufa. Soma zaidi hapa. 

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post