Lassine Kouma ni Mwananchi


 Klabu ya Yanga imethibitisha kukamilisha usajili wa kiungo fundi Lassine Kouma (21), aliyekuwa akikipiga katika klabu ya Stade Malien

Kouma anayemudu vyema majukumu ya kucheza kama kiungo mshambuliaji namba 10, ameweza kutua Yanga baada ya Wananchi kuishinda vita ya kumsajili mbele ya watani zao Simba na Al Hilal

Kouma amekabidhiwa jezi namba 8 ambayo ilikuwa inatumiwa na Khalid Aucho aliyepewa mkono wa kwaheri baada ya mkataba wake kumalizika

Usikose kuitazama mechi ya YANGA vs SAFARI LAGER CUP Leo bonyeza hapa kudownload App itakayoonesha mechi hii live bure pia ndani ya App hii utaweza kutazama chanel za Azam tv na Dstv bureeee bofya sasa

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post