Nimekuwa nikicheza beti tangu nikiwa chuoni. Wakati wengi walikuwa wanapoteza matumaini baada ya kila droo, mimi nilikuwa na ndoto ndoto ya kuwa mshindi mkubwa wa siku moja. Nilishinda elfu tano hapa, elfu ishirini pale, lakini siku zote nilihisi kuna siku moja maisha yangu yangebadilika kabisa kwa dau moja tu.
Siku hiyo ilikuja bila onyo. Ilikuwa siku ya Jumatano, saa nne usiku, nikiwa nyumbani nikiangalia mechi ya ligi ya Ujerumani. Niliweka beti ya timu tano, nikiwa na imani ya asilimia mia. Soma zaidi hapa.

Post a Comment