BREAKING: YANGA WATAMBULISHA MCHEZAJI MPYA HUYU HAPA


 Ni rasmi, Yanga imethibitisha
kumsajili kiungo mkabaji kutoka
klabu ya CS Sfaxien, Moussa Balla
Conte (21)

Conte amepewa mkataba wa
miaka miwili kuwatumikia
mabingwa hao wa nchi
Aliwasili nchini Alfajiri ya leo
akitokea Tunisia na kupokewa na
uongozi wa Yanga na kufishwa
moja ya hotel maarufu jini Dar
es salaam kabla ya utambulisho
wake akiwa na Rais wa Yanga
Injini Hersi Said

Ikumbukwe Conte alikuwa pia akiwaniwa na klabu ya Simba na Azam Fc

Huna sababu ya kukosa kutazama michuano ya CHAN LIVE kupitia Simu yako

Michuano hii itaanza Agosti 02, kwa mechi ya ufunguzi kuchezwa katika dimba la Benjamin Mkapa kwa wenyeji Taifa Stars kucheza dhidi ya Burkina Faso.

Usikose kuitazama michuano hii LIVE  bure kupitia simu yako  download App hii mapema inayorusha mechi zote live bure pia ukiwa na App yetu utaweza kutazama chanel zote za Azam Tv na DSTV live bure mfano Azam sport 1, Azam Two, Sinema zetu na nyingine nyingi pia App bado hatujaiweka playstore hivo italeta neno This file might be harmful usiogope


0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post