Yanga imemthibitisha Romain Folz kuwa Kocha Mkuu wa mabingwa hao wa nchi akichukua nafasi iliyoachwa na Miloud Hamdi
Folz anatua Yanga akiwa na kibarua cha kuendeleza utamaduni wa kushinda mataji wa Wananchi
Lakini kiu kubwa ya mashabiki wa Yanga ni kuona timu yao inafanya vizuri zaidi katika michuano ya ligi ya mabingwa barani Afrika msimu ujao
Kocha huyo raia wa Ufaransa akiwa pia na asili ya Morocco, atakuwa na takribani wiki sita za kukiandaa kikosi chake kabla ya kukaribisha msimu mpya Septemba 2025
Usikose kuitazama michuano hii LIVE bure kupitia simu yako download App hii mapema inayorusha mechi zote live bure pia ukiwa na App yetu utaweza kutazama chanel zote za Azam Tv na DSTV live bure mfano Azam sport 1, Azam Two, Sinema zetu na nyingine nyingi pia App bado hatujaiweka playstore hivo italeta neno This file might be harmful usiogope
Au hapa chini
Kudownload Bonyeza hapa ili kudownload App
Au
AU BONYEZA HAPA PIA KUDOWNLOAD
Au hapa chini pia


Post a Comment