Sikuwahi kufikiri kuwa wivu na husuda vinaweza kuathiri maisha ya mtu kwa kiwango kikubwa kiasi kile. Nilikuwa nafanya kazi kwa bidii, nikiwa na mipango mizuri ya kimaisha, lakini kila nilichojaribu hakikufanikiwa.
Marafiki waliokuwa wakinisifia kwa sauti, waligeuka kuwa watu wa kunibeza kwa siri. Mahusiano yangu ya kimapenzi yaliingia doa bila sababu, na hata biashara ndogo niliyoanzisha ilianza kuyumba vibaya. Soma zaidi hapa.
Post a Comment