LIVE: ITAZAME MECHI YA FAINALI YANGA VS SINGIDA BS LIVE HAPA

 


 Leo ndio siku ya mwisho kufunga hesabu za msimu wa mashindano 2024/25 kwa mchezo wa fainali kombe la CRDB kati ya Yanga dhidi ya Singida Black Stars ukipigwa katika uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar

Mechi nyingine kubwa na aina yake itashuhudiwa visiwani Zanzibar siku nne tu baada ya mchezo wa dabi ya Kariakoo ulioamua ubingwa wa ligi kuu Yanga ikishinda mabao 2-0 dhidi ya Simba na kutetea ubingwa kwa msimu wa nne mfululizo

Hii itakuwa fainali ya tano mfululizo kwa Yanga katika michuano hiyo, Wananchi wakilisaka taji la nne mfululizo

Hata hivyo ni wazi haitakuwa mechi nyepesi, msimu huu Singida BS wamejipambanua kuwa timu imara wakifanikiwa kutinga fainali kwa kuiondoa Simba kwa ushindi wa mabao 3-1 katika hatua ya nusu fainali

Yanga na Singida BS zinakutana kwa mara ya tatu msimu huu Yanga ikipata ushindi mwembamba katika mechi mbili zilizopita ambazo zote zilikuwa za ligi

Mchezo unaokumbukwa zaidi ni ule wa duru ya kwanza ambao ulipigwa uwanja wa New Amaan Complex, Yanga ikiibuka na ushindi wa bao 1-0

Mchezo huo ulikuwa miongoni mwa mechi bora katika ligi kuu msimu uliomalizika. Ni wazi leo mashabiki wa soka watashuhudia fainali nyingine bora visiwani Zanzibar

Usikose kuitazama mechi hii ya  YANGA vs SINGIDA BLACK STARS LIVE  bure kupitia simu yako  download App hii mapema inayorusha mechi zote live bure pia ukiwa na App yetu utaweza kutazama chanel zote za Azam Tv na DSTV live bure mfano Azam sport 1, Azam Two, Sinema zetu na nyingine nyingi pia App bado hatujaiweka playstore hivo italeta neno This file might be harmful usiogope

 Bonyeza hapa kudownload

Au hapa chini

Kudownload  Bonyeza hapa ili kudownload App

Au

AU BONYEZA HAPA PIA KUDOWNLOAD

Au hapa chini pia


App bado hatujaiweka playstore hivo utaidownload kama APK kisha uta Install kawaida tu na uendelee kufurahia chanel za Azam na Dstv bureee ( ikileta neno its harmful usiogope ni kwasababu haijawekwa playstore)

  1. Wezesha “Unknown Sources” kwenye setting ya Simu yako. Nenda kwenye “Settings” > “Security” au “Privacy“.
Bonyeza Download anyway

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post