Leo ndio siku ya mwisho kufunga hesabu za msimu wa mashindano 2024/25 kwa mchezo wa fainali kombe la CRDB kati ya Yanga dhidi ya Singida Black Stars ukipigwa katika uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar
Mechi nyingine kubwa na aina yake itashuhudiwa visiwani Zanzibar siku nne tu baada ya mchezo wa dabi ya Kariakoo ulioamua ubingwa wa ligi kuu Yanga ikishinda mabao 2-0 dhidi ya Simba na kutetea ubingwa kwa msimu wa nne mfululizo
Hii itakuwa fainali ya tano mfululizo kwa Yanga katika michuano hiyo, Wananchi wakilisaka taji la nne mfululizo
Hata hivyo ni wazi haitakuwa mechi nyepesi, msimu huu Singida BS wamejipambanua kuwa timu imara wakifanikiwa kutinga fainali kwa kuiondoa Simba kwa ushindi wa mabao 3-1 katika hatua ya nusu fainali
Yanga na Singida BS zinakutana kwa mara ya tatu msimu huu Yanga ikipata ushindi mwembamba katika mechi mbili zilizopita ambazo zote zilikuwa za ligi
Mchezo unaokumbukwa zaidi ni ule wa duru ya kwanza ambao ulipigwa uwanja wa New Amaan Complex, Yanga ikiibuka na ushindi wa bao 1-0
Mchezo huo ulikuwa miongoni mwa mechi bora katika ligi kuu msimu uliomalizika. Ni wazi leo mashabiki wa soka watashuhudia fainali nyingine bora visiwani Zanzibar
Au hapa chini
Kudownload Bonyeza hapa ili kudownload App
Au
AU BONYEZA HAPA PIA KUDOWNLOAD
Au hapa chini pia
App bado hatujaiweka playstore hivo utaidownload kama APK kisha uta Install kawaida tu na uendelee kufurahia chanel za Azam na Dstv bureee ( ikileta neno its harmful usiogope ni kwasababu haijawekwa playstore)
- Wezesha “Unknown Sources” kwenye setting ya Simu yako. Nenda kwenye “Settings” > “Security” au “Privacy“.
Post a Comment