Kuna kipindi katika maisha yangu nilifikiri labda mimi ni mkosi au labda kuna kitu kibaya ndani yangu kisichoelezeka kisayansi. Nilikuwa mfanyakazi mzuri, niliyejituma, na mwenye ndoto kubwa za maisha.
Kila nilipopata nafasi nzuri ya kipato iwe ni bonus kazini, tenda ndogo ya biashara, au hata bahati ya pesa ghafla mambo yaligeuka kuwa mabaya ndani ya siku chache tu. Soma zaidi hapa. Soma zaidi hapa.
Post a Comment