Jina langu ni Musa kutokea Dodoma, ni Baba wa familia, mimi na mke wangu katika miaka sita ya ndoa yetu tumejaliwa kupata watoto wawili, mmoja wa kiume na mwingine wa kike. Tunawapenda sana, hawa ndio furaha yetu.
Kabla ya kuwa na mwanamke huyo, huko nyuma niliangaika sana kutafuta mwanamke mwenye mapenzi ya kweli na mimi ili niweze kumuoa na kuanzisha naye mahusiano na hatimaye ndoa na familia lakini sikuweza kufanikiwa licha ya kutia juhudi kubwa. Soma zaidi hapa.
Post a Comment