RASMI: Yanga wampa THANK YOU Aziz Ki

 

Kiungo mshambuliaji mahiri, Stephane Aziz Ki, sasa ni mchezaji halali wa klabu ya Wydad Athletic ya Morocco baada ya kutambulishwa rasmi na vigogo hao wa Afrika Kaskazini. Ki amejiunga na Wydad akitokea klabu ya Yanga ya Tanzania, ambako aliwika kwa kiwango bora na mchango mkubwa ndani ya kikosi cha Wanajangwani.

Kwa mujibu wa taarifa rasmi kutoka Wydad, Aziz Ki amesaini mkataba wa miaka miwili na klabu hiyo, ambayo inajiandaa kwa nguvu kuelekea michuano ya Kombe la Dunia la Klabu. Usajili huu ni sehemu ya mkakati wa kuimarisha kikosi cha Wydad kuelekea mashindano hayo ya kimataifa.

Mbali na Aziz Ki, Wydad pia imetambulisha nyota wengine wawili wapya: mshambuliaji mwenye uzoefu mkubwa, Nordin Amrabat, aliyewahi kung’ara katika Ligi Kuu ya Hispania na timu ya taifa ya Morocco, ambaye amejiunga na Wydad akitokea AEK Athens ya Ugiriki, pamoja na Hamza Hanouri kutoka klabu ya FUS Rabat ya Morocco.

Kwa upande wake, klabu ya Yanga imetoa salamu za heri kwa Aziz Ki, ikimtakia mafanikio mema katika changamoto yake mpya. Kupitia mitandao ya kijamii, Yanga imempongeza Ki kwa huduma aliyotoa akiwa na timu hiyo, huku mchezaji huyo naye akiishukuru klabu, wachezaji wenzake na mashabiki kwa kipindi kizuri alichokipitia akiwa Jangwani.

Aziz Ki anasalia kuwa mmoja wa wachezaji wa kigeni waliovutia sana katika Ligi Kuu ya Tanzania, na sasa macho yote yataelekezwa kwake kuona atakavyoweza kuonesha uwezo wake katika jukwaa la kimataifa akiwa na Wydad.

Usikose kuitazama mechi hii ya  SIMBA SC vs BERKANE LIVE  bure kupitia simu yako  download App hii mapema inayorusha mechi zote live bure pia ukiwa na App yetu utaweza kutazama chanel zote za Azam Tv na DSTV live bure mfano Azam sport 1, Azam Two, Sinema zetu na nyingine nyingi pia App bado hatujaiweka playstore hivo italeta neno This file might be harmful usiogope

 Bonyeza hapa kudownload

Au hapa chini

Kudownload  Bonyeza hapa ili kudownload App

Au

AU BONYEZA HAPA PIA KUDOWNLOAD

Au hapa chini pia


App bado hatujaiweka playstore hivo utaidownload kama APK kisha uta Install kawaida tu na uendelee kufurahia chanel za Azam na Dstv bureee ( ikileta neno its harmful usiogope ni kwasababu haijawekwa playstore)

  1. Wezesha “Unknown Sources” kwenye setting ya Simu yako. Nenda kwenye “Settings” > “Security” au “Privacy“.
Bonyeza Download anyway



0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post