Nilizaliwa Maskini Kiasi cha Kulala Njaa, Leo Nasafiri Nchi Nne kwa Wiki Kutokana na Wazo Moja Tu la Biashara

 Wakati wengine walikulia kwenye familia zenye utajiri au angalau kipato cha kawaida, mimi nilizaliwa kwenye familia iliyohitaji miujiza ili kupata mlo mmoja kwa siku. Maskini hohehahe.




Tulikuwa tukilala sakafuni, bila magodoro, na mara nyingi mama alikuwa akitufunika kwa kanzu yake ya zamani kuwakinga wadogo zangu dhidi ya baridi. Shule ilikuwa mateso, si kwa sababu ya walimu, bali njaa na aibu ya kuvaa sare zilizochanika.


Maisha haya yaliniharibu kisaikolojia kiasi kwamba nilikua mtu wa kujidharau. Wakati...SOMA ZAIDI

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post