Nilishindwa kudhibiti mkojo hadi nikiwa mbele ya watu. Saa nane usiku, kelele za maji zikimiminika chini ya godoro zilinifanya nijishtukie tena. Nilikuwa mtu mzima, lakini nilijikuta nimelowa kitandani kwa mara nyingine tena. Nililia kimoyomoyo, nikajiuliza ni lini hali hii ya kuaibisha ingeisha.
Nikiwa na miaka 35, bado nilikuwa nikikumbwa na tatizo la kujikojolea usingizini hali iliyokuwa imenifanya niishi kwa siri, aibu na fedheha tangu nilipokuwa msichana mdogo.
Nilijaribu kila njia. Nilihudhuria kliniki za kibingwa, nikatumia dawa za gharama kubwa, nilijaribu hata mashine maalum za mazoezi ya...SOMA ZAIDI
Post a Comment