Ishu ya Inonga kutua Yanga yazua mjadala mkubwa ndani ya Yanga

 

Wakati zikisalia wiki chache kabla ya msimu kumalizika na dirisha la usajili kufunguliwa, Yanga tayari inahusishwa na nyota kadhaa

Katika maeneo ambayo yanatarajiwa kuboreshwa ni pamoja na safu ya ulinzi ambapo Yanga inatarajiwa kuongeza beki mwingine wa kati ambaye atashirikiana na mabeki waliopo Ibrahim Bacca, Dickson Job na Bakari Mwamnyeto

Jina la beki wa Kimataifa wa DR Congo Hennock Inonga Baka ni miongoni mwa majina ya wachezaji wanaotajwa kufuatiliwa ili kusajili

Inonga aliitumikia Simba kwa misimu mitatu kabla ya kutimkia klabu ya FAR Rabat ya Morocco anayoitumikia sasa

Hata hivyo tetesi za Yanga kutanga kumsajili beki huyo zimeibua mjadala mzito wengi wakihofia mwendelezo wa wachezaji waliosajiliwa na Yanga kutoka Simba kutofikia matarajio ya mashabiki 

Katika misimu ya karibuni Yanga iliwasajili wachezaji kama Jonas Mkude, Jean Baleke, Augustine Okrah, Clatous Chama na Israel Mwenda

Mkude, Chama na Mwenda bado wapo huku Baleke na Okrah wakiitumikia Yanga kwa miezi 6 tu kabla ya mikataba yao kuvunjwa

Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa gazeti la Mwanaspoti, baadhi ya viongozi wa Yanga hawataki kabisa kusikia suala la kumsajili mchezaji yeyote aliyewahi kuichezea Simba

Wanahoji kwamba mara nyingi mastaa wanaotoka kwa wapinzani wao hao hawajathibitisha ubora wao walipotua Jangwani

Mtoa taarifa kutoka ndani ya Yanga alinukuliwa akisema:

"Baadhi ya mabosi wamechoka mazoea ya kuchukua wachezaji kutoka kwa wapinzani wetu wakubwa wakati mastaa wapo wengi tu... wengine wanahisi Inonga anaweza kufanya makosa na ikatafsiriwa kama hujuma kwa sababu ya historia yake na Simba"

Ukitoa hofu hiyo, Inonga amedhihisha ubora wake akiwa beki tegemeo katika timu ya Taifa ya DR Congo na ameendelea kuaminiwa katika kikosi cha FAR Rabat licha ya kukabiliwa na ushindani katika kikosi cha kwanza

 Usikose kuzitazama mechi ya YANGA vs NAMUNGO LIVE  bure kupitia simu yako  download App yetu muda huu inayorusha mechi zote live bure pia ukiwa na App yetu utaweza kutazama chanel zote za Azam Tv na DSTV live bure mfano Azam sport 1, Azam Two, Sinema zetu na nyingine nyingi pia App bado hatujaiweka playstore hivo italeta neno This file might be harmful usiogope

 Bonyeza hapa kudownload

Au hapa chini

Kudownload  Bonyeza hapa ili kudownload App

Au

AU BONYEZA HAPA PIA KUDOWNLOAD

Au hapa chini pia


App bado hatujaiweka playstore hivo utaidownload kama APK kisha uta Install kawaida tu na uendelee kufurahia chanel za Azam na Dstv bureee ( ikileta neno its harmful usiogope ni kwasababu haijawekwa playstore)

  1. Wezesha “Unknown Sources” kwenye setting ya Simu yako. Nenda kwenye “Settings” > “Security” au “Privacy“.
Bonyeza Download anyway

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post