Watu wengi husema ndoa ni kati ya wawili, lakini niligundua baadaye kwamba ndoa yangu ilikuwa ya watatu. Mama mkwe wangu alikuwa kila kitu kwenye maisha ya mume wangu. Kila uamuzi tuliojaribu kufanya kama wanandoa, lazima upitie kwake.
Niliingia kwenye ndoa nikiwa na ndoto za furaha, mshikamano, na kujenga familia yetu, lakini badala yake nilijikuta nikifanya kazi ya kutafuta upendo na kukwepa chuki kila siku. Siku ya kwanza tu nilivyoingia kwenye nyumba...SOMA ZAIDI
Post a Comment