Jioni ya leo kikosi cha Simba kitakuwa uwanja wa Moses Mabhida, Durban kuikabili Stellenbosch katika mchezo wa mkondo wa pili nusu fainali ya kombe la Shirikisho (CAF CC)
Hii ni mechi ya kihistoria kwa Simba kwani ushindi au matokeo yoyote ya sare yataihakikishia Simba kutinga fainali
Kocha Fadlu Davids amechagua kuanza na kikosi hiki;
Post a Comment