Chama apewa jezi ya Mauya Yanga
Usikose kutazama live mechi za EURO 2024 bure kwenye simu yako download app yetu kutazama pia chanel za Azam tv zote bure kudownload app yetu bonyeza 👉🏻HAPA
Kiungo mshabuliaji wa Yanga, Clatous Chama raia wa Zambia amepewa jezi namba 20 katika klabu hiyo badala ya jezi namba 17 kama wengi walivyotarajia.
Jezi hiyo ilikuwa ikivaliwa na kiungo mkabaji Zawadi Mauya ambaye ameondoka klabuni hapo baada ya kumaliza mkataba wake.
Jezi namba 17 ambayo Chama alikuwa akiivaa wakati akiwa Simba SC, kwa Yanga inavaliwa na Farid Mussa.
KUPATA KIFURUSHI CHA DATA VODA BOFYA + HAPA
PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE HAPA
No comments:
Post a Comment