Jana Jumapili Juni 09 usiku, Baraza la Michezo la Taifa (BMT) liliendesha tukio la utolewaji tuzo za Wanamichezo bora wa mwaka 2023
Tuzo hizo zilihusisha michezo yote ambapo klabu ya Yanga ilipata tuzo ya timu bora ya mwaka 2023
Rais wa Yanga Injinia Hersi Said alipokea tuzo hiyo kwa niaba ya Wananchi
BONYEZA HAPA KUANGALIA VIDEO ZA WAKUBWA ILI UJIFUNZE MAUTUNDU
No comments:
Post a Comment