Tetesi: Simba watua kwa Bangala - EDUSPORTSTZ

Latest

Tetesi: Simba watua kwa Bangala

Tetesi: Simba watua kwa Bangala

Kivumbi cha mataifa ya africa kuwania kufuzu kombe la dunia kinaendelea leo usikose kuzitazama mechi hizi live buree kwenye simu yako bonyeza hapa kudownload app inayorusha mechi hizi live buree kabisa kumbuka kuna mechi ya Zambia vs Tanzania kesho kutwa usikose bofya sasa kudownlod app hii mapema ili kuepuka usumbufu siku ya mechi pia app hii ina muvi zilizotafsiriwa kwa kiswahili pamoja na chanel za azam tv na dstv

Klabu ya Simba wamewasiliana na wakala wa Yanick Bangala ili kumshawishi Kiungo huyo raia wa DR Congo kujiunga na timu yao ndani ya dirisha hili kubwa la usajili.

Nyota huyo wa zamani wa vilabu vya AS Vita,DC,Far Rabat na Yanga,alisaini mkataba wa miaka miwili na Azam hivyo Simba watatakiwa kukaa mezani na timu yake ili kuvunja mkataba wa mwaka mmoja uliyobaki.

Simba wanahisi Bangala ni tiba sahihi ya eneo la namba sita kwenye timu yao.

BONYEZA HAPA KUANGALIA VIDEO ZA WAKUBWA UJIFUNZE MAUTUNDU



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz