Real Madrid wabeba Ubingwa wa Ulaya wakiichapa Dortmund Wembley - EDUSPORTSTZ

Latest

Real Madrid wabeba Ubingwa wa Ulaya wakiichapa Dortmund Wembley

Mabingwa wapya wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, Real Madrid

Hatimaye ile siku iliyosubiriwa ni leo Fainali ya kombe la Crdb federation Cup AZAM FC vs YANGA fainaili ya kisasi Fainali ya kibabe unaanzaje kukosa kuitazama mechi hii live bure kwenye simu yako bonyeza hapa kudownload app itakayoonesha mechi hii live kabisa buree bofya sasa kuidownload mapema ili kuepuka usumbufu muda wa mechi

Timu ya Real Madrid imefanikiwa kutwaa taji la Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Borussia Dortmund jana usiku Juni 1, Uwanja wa Wembley Jijini London, Uingereza.

Timu ya Real Madrid imefanikiwa kutwaa taji la Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Borussia Dortmund jana usiku Juni 1, Uwanja wa Wembley Jijini London, Uingereza. Mabao ya Real Madrid yamefungwa na beki wa kulia wa Kimataifa wa Hispania, Dani Carvajal Ramos dakika ya 74 na mshambuliaji Mbrazil, Vinícius José Paixão de Oliveira Júnior dakika ya 83 na hilo linakuwa taji la 15 kwao michuano hiyo.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz