Ihefu yaachana rasmi na jina hilo - EDUSPORTSTZ

Latest

Ihefu yaachana rasmi na jina hilo

Ihefu yaachana rasmi na jina hilo

Leo kuna mechi za kibabe Caf za kufuzu kombe la dunia bofya hapa kudownload app itakayoonesha mechi hizi zote live bure kwenye simu yako pia ndani ya app hii utaweza kutazama muvi zilizo tafsiriwa kwa kiswahili bure pamoja na chanel za azam tv na Dstv

Klabu ya Singida Black Stars (Ihefu Fc) imetangaza kuachana rasmi na jina la IHEFU SC baada ya mchakato wa mabadiliko ya usajili wa jina la Singida Black Stars kukamilika.

Taarifa ya klabu hiyo kwa umma imebainisha kuwa kutokana na mabadiliko hayo, kuanzia sasa timu hiyo itafahamika kwa jina la Singida Black Stars SC na Makao Makuu ya Klabu yatakuwa mjini Singida.

“Mabadiliko haya ni sehemu ya maboresho muhimu yanayoendelea ndani ya klabu kuelekea maandalizi ya msimu wa mashindano 2024/2025.”



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz