Gamondi athibitisha kuendelea kuinoa Yanga msimu ujao - EDUSPORTSTZ

Latest

Gamondi athibitisha kuendelea kuinoa Yanga msimu ujao

Gamondi athibitisha kuendelea kuinoa Yanga msimu ujao

Ni kesho kutwa ZAMBIA vs TANZANIA mechi ya kuwania kufuzu kombe la Dunia usikose kuitazama mechi hii live bure kabisa kwenye simu yako bonyeza hapa kudownload app itakayoonesha mechi hii live bure pia kwenye app hii kuna muvi zilizotafsiriwa kwa kiswahili pamoja na chanel za azam tv na dstv bofya sasa

Klabu ya Yanga kupitia kwa Rais wake Eng. Hersi Said, ametangaza kuongeza mkataba na Kocha Angel Miguel Gamond baada ya kuipa klabu hiyo mafanikio katika msimu uliopita.

Klabu ya Yanga kupitia kwa Rais wake Eng. Hersi Said, ametangaza kuongeza mkataba na Kocha Angel Miguel Gamond baada ya kuipa klabu hiyo mafanikio katika msimu uliopita. Gamondi ameiongoza Yanga kushinda ubingwa wa Ligi Kuu, ubingwa wa CRDB Bank Federation Cup lakini pia ameipeleka hatua ya Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

BONYEZA HAPA KUANGALIA VIDEO ZA WAKUBWA UJIFUNZE MAUTUNDU



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz