BREAKING: Simba wampa "Thank You" Saido Ntibazonkiza - EDUSPORTSTZ

Latest

BREAKING: Simba wampa "Thank You" Saido Ntibazonkiza

Saido Ntibazonkiza

Klabu ya Simba SC imetangaza kuachana na mshambuliaji raia wa Burundi Saido Ntibazonkiza ambaye ameitumikia timu hiyo msimu mmoja na nusu.

Mechi za EURO 2024 zinaendelea leo usikose kuzitazama mechi zote live bure kwenye simu yako bonyeza hapa kudownload app itakayokuwezesha kuzitazama mechi zote live bure pia kwenye app hii kuna muvi zilizotafsiriwa pamoja na chanel za azam tv na dstv bofya sasa kudownload

Klabu ya Simba SC imetangaza kuachana na mshambuliaji raia wa Burundi Saido Ntibazonkiza ambaye ameitumikia timu hiyo msimu mmoja na nusu. Ntibazonkiza alijiunga na klabu ya Simba SC katika dirisha dogo la usajili mwaka jana 2023 akitokea Geita Gold.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz