BREAKING: Simba wampa mchezaji huyu THANK YOUMichuano ya EURO 2024 inaendelea leo mechi za kibabe zitapigwa leo usikose kuzitazama mechi hizi zote live buree kwenye simu yako download app yetu kutazama mechi zote live bure pia kwenye app hii kuna muvi zilizotafsiriwa kwa kiswahili pamoja na chanel za Azam tv na Dstv kudownload app hii bonyeza 👉🏻👉🏻HAPA |
Klabu ya Simba imempa Thank You mshambuliaji Shabani Iddi Chilunda baada ya mkataba wake kumalizika
Chilunda alijiunga na Simba katika dirisha kubwa la usajili msimu uliopita akisaini mkataba wa mwaka mmoja
Katika dirisha dogo la usajili, Simba ilimtoa kwa mkopo Chilunda kwenda klabu ya KMC
Chilunda amemaliza mkataba wake wa mwaka mmoja na hatakuwa sehemu ya kikosi cha Simba kuelekea msimu mpya wa mashindano 2024/25
Kila la kheri Chilunda...!
Download our APP from Google Playstore using the link here>>>
Join Our Telegram Channel for Daily Updates
CLICK HERE
No comments:
Post a Comment