Aziz KI amtuliza mashabiki: Bado nipo sana Yanga - EDUSPORTSTZ

Latest

Aziz KI amtuliza mashabiki: Bado nipo sana Yanga

Aziz Ki.

Leo kuna mechi za kibabe Caf za kufuzu kombe la dunia bofya hapa kudownload app itakayoonesha mechi hizi zote live bure kwenye simu yako pia ndani ya app hii utaweza kutazama muvi zilizo tafsiriwa kwa kiswahili bure pamoja na chanel za azam tv na Dstv

Baada ya moja ya mashabiki wa Yanga SC kukomenti kwenye post ya Aziz Ki akimuomba mchezaji huyo kutotumia neno 'Thank You' kwenye post zake kwa sasa kwa sababu anawaweka roho juu wakidhani anaaga kwaajili ya kuondoka Yanga.

Kiungo mshambuliaji huyo raia wa Burkina Faso amemjibu Shabiki huyo akisema "I thank you because it's the least thing I can do to be grateful to you who help me every day it's nothing like a good by I'm here don't worry."

Kwa tafsiri ya Kiswahili kwa alichojibu Aziz Ki ni; "Nakushukuru kwa sababu wewe ndiye ambaye unanisaidia kila siku, lakini sio kila kheri nipo hapa usijali."



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz