Yao, Pacome, Aucho waandaliwa kuwavaa Simba April 20 - EDUSPORTSTZ

Latest

Yao, Pacome, Aucho waandaliwa kuwavaa Simba April 20

Yao, Pacome, Aucho waandaliwa kuwavaa Simba April 20

Ni Mashujaa vs Simba na Dodoma Jiji vs Yanga kombe la FA usikose kuzitazama mechi hizi live buuuree kabisa bonyeza hapa kudownload app yetu itakayokuwezesha kuzitazama mechi zote hizi bureeee

Nyota watatu wa klabu ya Yanga Khalid Aucho, Attohoula Yao na Pacome Zouzoua wanatarajiwa kurejea uwanjani kabla ya mchezo dhidi ya watani zao klabu ya Simba unaotarajiwa kupigwa , April 20 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa.

Wachezaji hao wote wameshindwa kucheza michezo miwili ya ligi ya Mabingwa Barani Afrika dhidi ya Mamelodi kutokana na majeruhi yanayowakabili.

Kama watakuwa na utimamu asilimia mia basi wanaweza kutengeneza mazingira hatarishi zaidi kwa klabu ya Simba kutokana na aina yao ya uchezaji uwanjani.

JIUNGE NA GROUP LA WAKUBA HAPA 18+ HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz