Yanga yaamriwa kugharamia matengenezo ya uwanja kabla ya Aprili 15 - EDUSPORTSTZ

Latest

Yanga yaamriwa kugharamia matengenezo ya uwanja kabla ya Aprili 15

Yanga yaamriwa kugharamia matengenezo ya uwanja kabla ya Aprili 15

Leo ni Singida Fg vs Yanga usikose kuitazama mechi hii live bureee kupitia simu yako bonyeza hapa kudownload app itakayorusha mechi hii live bureee kabisa

Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo kupitia kwa Shirikisho la mpira wa miguu TFF limewataka Yanga kugharamia matengenezo ya uwanja wa Benjamin Mkapa ufuatia uharibifu uliotokea kwenye mechi dhidi ya Mamelodi Sundowns.

Uharibifu uliotokea ni kuvunjwa kwa mageti sita na vioo vya mageti sita ya kieletroniki.

Na gharama hizo zinatakiwa kulipwa haraka kabla va tarehe 15 mwezi Aprili. Ikumbukwe kuwa, Aprili 20, 2024 itakuwa mchezo wa Dabi kati ya Yanga vs Simba lwenye Dimba hilo hilo.

JIUNGE NA GROUP LA WAKUBA HAPA 18+ HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz