TETESI: Simba kushusha CEO mpya kutoka Sauzi, Kajula akubali yaishe - EDUSPORTSTZ

Latest

TETESI: Simba kushusha CEO mpya kutoka Sauzi, Kajula akubali yaishe

CEO wa Simba, Imani Kajula

Ni Yanga vs Simba jumamosi hii unakosaje kuitazama mechi hii live buree kabisa kupitia simu yako bonyeza hapa kudownload app itakayo rusha mechi hii live bureee kabisa bofya sasa kuidownload mapema ili kuepuka usumbufu siku ya mechi

Kwa mujibu wa taarifa kutoka ndani ya Klabu ya Simba, juzi Jumamosi kilifanyika kikao kizito kutathimini mikakati na mwenendo wa klabu ya Simba ambayo kwa sasa imekuwa ikisua sua kupata matokeo.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka ndani ya Klabu ya Simba, juzi Jumamosi kilifanyika kikao kizito kutathimini mikakati na mwenendo wa klabu ya Simba ambayo kwa sasa imekuwa ikisua sua kupata matokeo. Maamuzi yamefanyika tayari, Mtendaji Mkuu wa Simba, Imani Kajula amekubali kuachia nafasi yake na klabu inatarajia kuleta CEO mpya kutoka Afrika Kusini.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz