Dabo awataka Diara, Aziz, Mzize na Aucho - EDUSPORTSTZ

Latest

Dabo awataka Diara, Aziz, Mzize na Aucho

Dabo awataka Diara, Aziz, Mzize na Aucho

Ni JKT TANZANIA vs YANGA kesho usikose kuitazama mechi hii live buree kupitia simu yako bonyeza hapa kudownload app yetu itakayokuwezesha kuitazama mechi hii bureee kabisa

Kocha Azam FC Youssouffa Dabo amesema kuwa anataka kuushawishi uongozi wa klabu hiyo umsajilie nyota wa Yanga SC ambao ni Stephan Aziz Ki, Clement Mzize, Djuigi Diara pamoja na Khalid Aucho kuelekea msimu ujao.

Kocha Azam FC Youssouffa Dabo amesema kuwa anataka kuushawishi uongozi wa klabu hiyo umsajilie nyota wa Yanga SC ambao ni Stephan Aziz Ki, Clement Mzize, Djuigi Diara pamoja na Khalid Aucho kuelekea msimu ujao. Kocha huyo ameyazungumza hayo jana wakati akizungumza na vyombo vya Habari baada ya mchezo wa dhidi ya Ihefu FC ambapo walipata ushindi wa goli 1-0.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz