Azam TV wayafuta mahojiano yao na Mayele - EDUSPORTSTZ

Latest

Azam TV wayafuta mahojiano yao na Mayele

Azam TV wayafuta mahojiano yao na Mayele

Kesho kutwa ni Singida Fg vs Yanga usikose kuitazama mechi hii live ( mubashara ) kupitia simu yako bonyeza hapa kudownload app yetu buree kabisa ili usipitwe na mechi hii

Kituo cha Habari cha Azam TV kimefuta mahojiano waliyofanya na mshambuliaji wa zamani wa Yanga, Fiston Mayele katika kurasa zake zote za mitandao ya kijamii baada ya klabu ya Yanga kuripotiwa kuitaka Azam TV kufanya hivyo.

Kituo cha Habari cha Azam TV kimefuta mahojiano waliyofanya na mshambuliaji wa zamani wa Yanga, Fiston Mayele katika kurasa zake zote za mitandao ya kijamii baada ya klabu ya Yanga kuripotiwa kuitaka Azam TV kufanya hivyo. Mahojiano hayo yaliyonukuliwa na vyombo mbalimbali vya habari nchini yalijikita katika kuichafua klabu ya Yanga pamoja na mpira wa Tanzania kiujumla na kuzua mjadala mkubwa miongoni mwa wafuasi wa soka.

JIUNGE NA GROUP LA WAKUBA HAPA 18+ HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz