Azam FC: Tutachukua wachezaji wanne Simba, Yanga - EDUSPORTSTZ

Latest

Azam FC: Tutachukua wachezaji wanne Simba, Yanga

Azam FC: Tutachukua wachezaji wanne Simba, Yanga

Tayari Joto la Dabi ya kariakoo limeanza hivi unaanzaje kukosa kuitazama mechi hii bonyeza hapa kudownload app itakayorusha mechi hii live bureee kupitia simu yako bonyeza sasa kuipakua mapema ili kuepuka usumbufu siku ya mechi

Ofisa Habari wa Azam Fc, Hashim Ibwe ameweka wazi mipango ya timu hiyo kuelekea kwenye maandalizi ya msimu ujao kuwa mpaka sasa wameshatuma maombi kwa timu ya Yanga wakitaka kumsajili mshambuliaji wa timu hiyo Clement Mzize, huku akisema bado wengine watatu kutoka kwenye timu mbili kubwa ambazo ni Simba na Yanga.

Ofisa Habari wa Azam Fc, Hashim Ibwe ameweka wazi mipango ya timu hiyo kuelekea kwenye maandalizi ya msimu ujao kuwa mpaka sasa wameshatuma maombi kwa timu ya Yanga wakitaka kumsajili mshambuliaji wa timu hiyo Clement Mzize, huku akisema bado wengine watatu kutoka kwenye timu mbili kubwa ambazo ni Simba na Yanga. Ibwe ameyasema hayo Aprili 17, 2024 alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari baada ya mchezo wao dhidi ya Mashujaa kumalizika kwa suluhu.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz