Tutawashambulia Yanga, tukipaki basi watatupiga nyingi - Kocha Mamelodi - EDUSPORTSTZ

Latest

Tutawashambulia Yanga, tukipaki basi watatupiga nyingi - Kocha Mamelodi

Kocha Mkuu wa Mamelodi Sundonws, Rulani Mokwena.

Zimebaki siku chache bonyeza hapa kudownload app yetu mapema ili uweze kutazama mechi ya Simba vs Al ahly na Yanga vs Mamelodi live bureeeee kabisa bonyeza kuidownload mapema ili kuepuka usumbufu siku ya mechi yaani mechi unaitazama kupitia simu yako bureee

Kocha Mkuu wa Mamelodi Sundonws, Rulani Mokwena amesema kuwa hatopaki basi kwenye mchezo wao wa robo fainali ya CAFCL dhidi ya Yanga SC, badala yake ataielekeza timu yake kucheza kwa kuwashambulia wapinzani wao hao.

Mokwena amesema hayo kuelekea mchezo huo utakaopigwa Jumamosi, Machi 30, 2024 katika Dimba la Mkapa huku akisisitiza kuwa ili mchezo uwe mzuri, lazima timu zote zishambuliane.

"Sitaweza kukaa nyuma ninapocheza na Yanga SC. Ili mchezo uwe mzuri ni lazima wote tucheze na tushambuliane. Yanga ni wazuri, ukikaa nyuma wanaweza kukufunga goli nyingi.

"Yanga ni nzuri inapocheza kwa sababu inawachezaji wazuri sana, ni timu tishio Afrika kwa sasa, tunajua msimu uliopita alicheza finali ya CAFCC," amesema Rhulan Mokwena.

JIUNGE NA GROUP LA WAKUBA HAPA 18+ HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz