RASMI: Baada ya kuachana na Singida united Bruno Gomez asajiliwa na Timu hii - EDUSPORTSTZ

Latest

RASMI: Baada ya kuachana na Singida united Bruno Gomez asajiliwa na Timu hii

Bruno Gomez ajiunga na timu ya Brazil

Liverpool vs Man city leo saa 06:45 jioni bonyeza hapa kudownload app yetu ili uweze kuitazama mechi hii live bure kupitia simu yako yaani mb za mia tano una maliza mechi

Aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa Klabu ya Singida Fountain Gate, Bruno Gomes Barossa amejiunga na Klabu ya Athletic Club Futbol inayoshiriki Ligi Daraja la nne kwenye ngazi za Madaraja ya Ligi nchini Brazil.

Aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa Klabu ya Singida Fountain Gate, Bruno Gomes Barossa amejiunga na Klabu ya Athletic Club Futbol inayoshiriki Ligi Daraja la nne kwenye ngazi za Madaraja ya Ligi nchini Brazil. Bruno Gomes ambaye ni raia wa Brazil hivi karibuni alivunja Mkataba na iliyokuwa klabu yake ya Singida FountainGate baada ya kufikia makubalino ya pande zote kufuatia mchezo huyo kuomba kuondoka klabuni hapo.

JIUNGE NA GROUP LA WAKUBA HAPA 18+ HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz