Kudadeki! Kocha mkuu wa Simba Atoa kauli ya kibabe - EDUSPORTSTZ

Latest

Kudadeki! Kocha mkuu wa Simba Atoa kauli ya kibabe

Benchikha ataja faida waliyonayo dhidi ya Jwaneng

USikose kuitazama mechi ya Simba vs Jwaneng Galaxy live bure kupitia simu yako Bonyeza hapa kuidownload app yetu itakayo kuwezesha kuitazama mechi hii mubashara bure

Kocha Mkuu wa Simba SC, Abdelhak Benchikha amesema, faida aliyonayo kwenye mchezo wa leo dhidi ya Jwaneng Galaxy ni kutohitaji kutazama matokeo ya mtu mwingine ili kushinda.

Akizungumzia maandalizi ya mchezo huo wa mwisho wa hatua ya Makundi ya Klabu Bingwa Afrika, Benchikha alisema wao wamejiandaa kushinda tu na si vinginevyo.

"Sisi tunatakiwa kushinda, hatuangalii matokeo ya timu nyingine na hii ndio faida yetu, tunatakiwa kuwa imara tushinde kwa ajili ya mashabiki wetu na Watanzania wote wanaotuunga mkono," alisema Benchikha.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz