Dube aikataa ofa ya Simba SC, anataka kwenda wapi? - EDUSPORTSTZ

Latest

Dube aikataa ofa ya Simba SC, anataka kwenda wapi?

Prince Dube

Bonyeza hapa kudownload app yetu ili uweze kutazama mechi ya Simba vs Mashujaa fc live bure kabisa

Taarifa kutoka katika vyanzo mbalimbali zinasema Aliekuwa Mshambuliaji wa Azam FC, Prince Dube amezikataa Ofa za klabu ya Al Hilal ambayo ni zaidi ya milioni 500 za Kitanzania na ya klabu ya Simba zaidi ya milioni 380 za Kitanzania ambapo mchezaji huyo hataki kuuzwa na klabu kusudio lake ni kuvunja mkataba na Azam ili awe huru ajiunge na timu yoyote anayoitaka yeye.

Taarifa kutoka katika vyanzo mbalimbali zinasema Aliekuwa Mshambuliaji wa Azam FC, Prince Dube amezikataa Ofa za klabu ya Al Hilal ambayo ni zaidi ya milioni 500 za Kitanzania na ya klabu ya Simba zaidi ya milioni 380 za Kitanzania ambapo mchezaji huyo hataki kuuzwa na klabu kusudio lake ni kuvunja mkataba na Azam ili awe huru ajiunge na timu yoyote anayoitaka yeye. Unadhani Dube ana mipango ya kujiunga na Timu gani?

JIUNGE NA GROUP LA WAKUBA HAPA 18+ HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPAz



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz