TETESI: Mayele aomba kuvunja mkataba Pyramids Azam FC na Simba wahusishwa - EDUSPORTSTZ

Latest

TETESI: Mayele aomba kuvunja mkataba Pyramids Azam FC na Simba wahusishwa

 Fiston Mayele.

Kivumbi ni kesho Al ahly vs Yanga Usikose kuitazama live bure mechi hii kupitia simu yako download app yetu mapema Ili usipitwe na mechi hii bonyeza hapa Sasa kuidownload app yetu

Mshambuliaji wa zamani wa Klabu ya Yanga, Fiston Mayele amewasilisha barua kwenye Menejiment ya klabu ya Pyramids kwaajili ya kuhitaji kusitishiwa mkataba wake.

Vyombo mbalimbali vya Habari kutoka Misri vimeripoti kuwa Mayele amedai hana furaha kuitumikia zaidi Pyramids FC na ameshafanya mazungumzo na Uongozi wake unaomsimamia ili kupata changamoto nyingine akiondoa Pyramids.

JIUNGE NA GROUP LA WAKUBA HAPA 18+ HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA


Taarifa za kuaminika ni kuwa Mayele ambaye ni raia wa Congo DR anautaka usimamizi wa Klabu ya Pyramids ya nchini Misri kusitisha mkataba wake.

Taarifa za ndani zinaeleza kuwa, licha ya Simba kuonesha nia, lakini Wauza Ukwaju wa Dar es Salaam, Klabu ya Azam FC wanahusishwa pia katika mipango ya kumsajili Mayele.

JIUNGE NA GROUP LA WAKUBA HAPA 18+ HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz